Mwl. Erick’s Podcast

KANUNI YA MCHAKATO


Listen Later

KANUNI YA MCHAKATO

Kila mafanikio ya kweli na ya kudumu yanahitaji mchakato. Kwenye kanuni ya mbegu kumea kuna mchakato.


Mark 4:28
Maana nchi huzaa yenyewe; kwanza jani, tena suke, kisha ngano pevu katika suke.

Wengi wanakata tamaa wanapokutana na ugumu au changamoto kwenye maisha hasa wanapoona Njozi au kusudi la maisha yao inachelewa. Hii inatokana na kutokuelewa KANUNI YA MCHAKATO.

Mafanikio yako ni UHAKIKA. Kaa kwenye Mchakato.


If you jump up you will come done but if you grow up you will stay there.

Ukuaji wa ghafla sio ukuaji ni uvimbe😂

 Jifunze Zaidi kwenye Somo Hili

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Mwl. Erick’s PodcastBy Christ Embassy Kawe