
Sign up to save your podcasts
Or


KANUNI YA MCHAKATO - PT 2
Kwenye sehemu ya pili ya somo hili tunaangalia faida ya mchakato.
Mungu huwapa watu sawasawa na uwezo wao: Mathayo 25:15
Ili kufanya makubwa Zaidi badala ya kukaa na wishful thinking chukua hatua na kuongoza capacity (uwezo wako). Hatima ni kwa wanaoweza kupambana (fighters) na wanaoweza kutamalaki territories.
Kutembea katika halisia za baraka tulizo nazo katika Kristo ni Zaidi ya kufunga, kuomba na kusoma neno.
Jifunze Zaidi kwenye somo hili:
By Christ Embassy KaweKANUNI YA MCHAKATO - PT 2
Kwenye sehemu ya pili ya somo hili tunaangalia faida ya mchakato.
Mungu huwapa watu sawasawa na uwezo wao: Mathayo 25:15
Ili kufanya makubwa Zaidi badala ya kukaa na wishful thinking chukua hatua na kuongoza capacity (uwezo wako). Hatima ni kwa wanaoweza kupambana (fighters) na wanaoweza kutamalaki territories.
Kutembea katika halisia za baraka tulizo nazo katika Kristo ni Zaidi ya kufunga, kuomba na kusoma neno.
Jifunze Zaidi kwenye somo hili: