Kisa Changu

Kijiji Cha Walemavu, Bungoma | Kisa Changu Podcast


Listen Later

Kijijini Namawanga, kilichoko eneo la Busunu Kaunti ya Bungoma kuna takriban familia 27 hivi. Kisicho cha kawaida ni kwamba katika kila familia kuna angalau mtoto mmoja mwenye ulemavu. Wapo waliozaliwa wakiwa na matatizo kuona, kuna wengine waliozaliwa bila viungo vya mwili kama vile miguu na mikono na wengine wanaugua ugonjwa wa seli-mundu yaani sickle cell.
Duncan Waswa amefika katika kijiji hicho na kuzungumza na baadhi ya wakazi. Haya hapa masimulizi yao ya kuhuzunisha.
Duncan Waswa amefika katika kijiji hicho na kuzungumza na baadhi ya wanakijiji. Haya hapa masimulizi yao ya kuvunja moyo.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Kisa ChanguBy The Standard Group PLC