Jifunze kuona kwa macho ya fikra zako au Moja ya rohoni kile ambacho Mungu akupa tayari katika maandiko, kisha kishikilie na kitamke kwa ujasiri ili kidhihirike katika ulimwengu wa mwili. Hii ndio namna ya kutembelea katika uhalisi wa Baraka zako ndani ya Kristo Yesu.