
Sign up to save your podcasts
Or


.2 Wafalme 2 : 1 - 18
Elia akamwambia Elisha, “Niambie unalotaka nikufanyie kabla sijaondolewa kwako.”
Elisha akamwambia, “Naomba sehemu maradufu ya roho yako.”
Elia akajibu, “Ombi lako ni gumu, hata hivyo utakipokea kipawa changu hicho ikiwa utaniona wakati nitakapoondolewa kwako; lakini usiponiona, basi hutapewa.”
Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
By Ebenezer Revival International Ministry.2 Wafalme 2 : 1 - 18
Elia akamwambia Elisha, “Niambie unalotaka nikufanyie kabla sijaondolewa kwako.”
Elisha akamwambia, “Naomba sehemu maradufu ya roho yako.”
Elia akajibu, “Ombi lako ni gumu, hata hivyo utakipokea kipawa changu hicho ikiwa utaniona wakati nitakapoondolewa kwako; lakini usiponiona, basi hutapewa.”
Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.