Elewa upo ndani ya Kristo kama wewe umezaliwa mara pili. Elewa Kristo ni eneo, ni maskani na upaswa kuenenda ndani yake kupitia neno lake. Neno lake ni Nuru, taa na uhalisi wa maisha yetu ya kila siku.
Elewa upo ndani ya Kristo kama wewe umezaliwa mara pili. Elewa Kristo ni eneo, ni maskani na upaswa kuenenda ndani yake kupitia neno lake. Neno lake ni Nuru, taa na uhalisi wa maisha yetu ya kila siku.