Isipokuwa umezaliwa mara ya pili hauwezi kuona wala kuingia katika Ufalme wa Mbinguni...
Maisha ni jambo la Kiroho, kilichozaliwa kwa Roho ni Roho na kilichozaliwa kwa mwili ni mwili.
Fanya sala ya wokovu mara tuu ya Episode hii na uzaliwe mara ya pili leo hii.