Convid19 corona viruses ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama lakini pia kwa binadamu. Inaaminika ni aina ya virusi vilivyo hama kutoka kwa wanyama na kuathiri binadamu pia. Na inasemaka virusi vya corona vipo vya aina nyingi ila sisi tutaongelea zaidi kuhusu virusi Aina ya Convid19