
Sign up to save your podcasts
Or


Rhapsodi ya Uhakika, Nov 25. 2020
Unachohitaji ni maarifa sahihi na ya kutosha ya Neno la Mungu; hiki ndicho hukuweka juu maishani. Wengi hawana tatizo la imani, kwa maana kila mmoja wetu anayo imani (Warumi 12:3). Suala hapa ni ukosefu wao wa uelewa wa wao ni nani na nini ni milki yao katika Kristo.
By Amedeus D. RaphaelRhapsodi ya Uhakika, Nov 25. 2020
Unachohitaji ni maarifa sahihi na ya kutosha ya Neno la Mungu; hiki ndicho hukuweka juu maishani. Wengi hawana tatizo la imani, kwa maana kila mmoja wetu anayo imani (Warumi 12:3). Suala hapa ni ukosefu wao wa uelewa wa wao ni nani na nini ni milki yao katika Kristo.