The Uongozi Wa Kiroho Podcast

Mafunzo Jangwani, Seh. ya 1


Listen Later

Je, kiongozi mkuu ni yule ambaye ni mnenanji mzuri, ana talanta na vipaji vya pekee, na anasifiwa na watu? La, hasha. Katika mfano wa Mtumishi Musa tunaona kwamba mara nyingi ni kinyume. Kiongozi mkuu ambaye Mungu hupenda kumtumia ni yule ambaye amepita katika jangwa na kujifunza kuwa mwaminifu katika madogo, akimtegemea Bwana kwa unyenyekevu.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

The Uongozi Wa Kiroho PodcastBy uongoziwakiroho