Kila Mkristo ampewa mamlaka ya kisheria (nguvu ya uwakili) ya kutumia jina la Yesu kwenye kila Hali, namna na mahali. Fahamu kile ilichonacho ndani ya Kristo na kitumie ipasavyo kuishi maisha ya ushindi, ubora na ukuu!
Hii ni rhapsodi ya Uhakika, toleo la watu wazima, januari 12, 2024.