Zaburi 119:99-100 [99]Ninazo akili kuliko wakufunzi wangu wote, Maana shuhuda zako ndizo nizifikirizo. [100]Ninao ufahamu kuliko wazee, Kwa kuwa nimeyashika mausia yako.
Zaburi 119:99-100 [99]Ninazo akili kuliko wakufunzi wangu wote, Maana shuhuda zako ndizo nizifikirizo. [100]Ninao ufahamu kuliko wazee, Kwa kuwa nimeyashika mausia yako.