
Sign up to save your podcasts
Or
mambo yanayotokea kwenye maisha yako ni wewe ulieamua yatokee,matatizo wote tunapata ila kila mtu anayakwake.kama unapitia kipindi ambacho mambo ya ajabu mengi kwenye maisha alaf huelewi inakuaje basi kuna uwezkano kuwa wewe mwenyewe ndo umeyaleta na ni hivyohivyo kwenye mabo mazuri wewe ndo umeyaleta,tuwe makini na mambo tunayo yafanya leo kwasababu yatatugarimu kesho
mambo yanayotokea kwenye maisha yako ni wewe ulieamua yatokee,matatizo wote tunapata ila kila mtu anayakwake.kama unapitia kipindi ambacho mambo ya ajabu mengi kwenye maisha alaf huelewi inakuaje basi kuna uwezkano kuwa wewe mwenyewe ndo umeyaleta na ni hivyohivyo kwenye mabo mazuri wewe ndo umeyaleta,tuwe makini na mambo tunayo yafanya leo kwasababu yatatugarimu kesho