Yeye ndiye aliyetuumba na sio sisi wenyewe;
ZABURI 100: 3
Mwanadamu atakapo kaa na kujihoji vyema, na kumtazama Mungu, hakika atatambua kwamba. “Ni yeye aliyeumba sisi, na sio sisi wenyewe. ” Nyakati zetu na pumzi zetu zimo mkononi mwake. Mungu alituleta kuwa, na anaweza kumaliza uhai wetu kwa muda mfupi. Sisi, hakuna hata mmoja wetu, anayedhibiti maisha; Mungu anatawala yote. Ni vyema kutulia na kutafakari haya.