FIKRA TUNDUIZI

Mgombea huru nchini Tanzania


Listen Later

Nchi nyingi barani Afrika katika katiba zao zimeruhusu mgombea huru ambae halazimiki kudhaminiwa na chama chochote ili kuwa mgombea. Nchi kama Uganda, Namimibia, Tunisia na nyinezo zinakipengele hicho katika Katiba, je kwanini tanzania haiko tayari licha ya baadhi ya watu kuhitaji uwepo wa ngombea huru?
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

FIKRA TUNDUIZIBy VENANCE JOHN