Share FIKRA TUNDUIZI
Share to email
Share to Facebook
Share to X
By VENANCE JOHN
The podcast currently has 8 episodes available.
Mjadala unaoandaliwa ni wa moto sana.
Lanini pia nawe waweza kusema mada ambayo ungependa tuangazie kwenye mfululizo wa vipindi vyetu nasi tutaifanyia kazi haswaa!
Sheria za Tanzania ni madhubuti kiasi gani kudhibiti unyanyasaji mtandaoni
Wengi wamekuwa wahanga wakubwa wa unyanyasaji wa kijinsia, lakini kuna uwezekano hawajui kama kuna unyanyasaji wa kijinsia mtandaoni.
Je watu wana elimu ya unyanyasaji wa kijinsia mtandaoni? Nani wa kuwasaidia pale wanapopatwa na dhahama kama hiyo.
Sikiliza episode hii
Baada ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuandika barua ya kujiuzulu mengi yamesemwa, wengine wakipongeza kwamba huo ni ukomavu wa kisiasa, wengine wakisema ni sahihi kwa kuwa ni uwajibikaji kwa kiongozi huku wangine wakisema utaratibu haujafuatwa kwani ameandika barua kwenda kwa katibu mkuu wa chama badala ya barua ya kujiuzulu kuelekezwa kwa bunge.
Bw Edwin Soko ni Mchambuzi, Mtalaam wa utawala na Mjuzi wa sheria yeye anayo maoni gani ?
The podcast currently has 8 episodes available.