FIKRA TUNDUIZI

WANAWAKE KATIKA SIASA NA UONGOZI


Listen Later

Chama cha wanahabari wanawake Tanzania (TAMWA) kimeoa magunzo kwa waandishi wa habari wa redio za kijamii 50 kutoka mikoa 17 ya Tanzania kwa ajili ya kuwaongezea ujuzi wanahabari jinsi gani vyombo vya habari vinaweza kuonesha ukubwa wa tatizo wakati wa kutoa taarifa za wanawake ili kuionesha jamii na serikali ukubwa wa tatizo na madhara ya kutokuwa na wanawake katika siasa na uongozi. #WanawakeWanawezaWapeFursa
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

FIKRA TUNDUIZIBy VENANCE JOHN