Living Theology

MIPAKA KWA AHADI


Listen Later

Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.
WARUMI 8:28
Kuna upeo wa ahadi hii. “Na tunajua kwamba vitu vyote hufanya kazi pamoja kwa faida ya wale wampendao Mungu, kwa wale walioitwa kulingana na kusudi lake. ” Lengo ni "kwa wale wampendao Mungu". “Tunajua kuwa kwa wale wampendao Mungu vitu vyote hufanya kazi pamoja kwa faida. ”
Ahadi hii ni dhahiri . Sio ya jumla. Wazo la upendo wa Mungu ni vyema kueleweka kabisa. Anachukuliwa kama anayeahidi kubariki wote kwa njia sawa kabisa. Swala Kwamba Yeye ni wa kutoa/kupeana kwa wanadamu kwa ujumla ni kweli. Lakini kufuatia hiyo, kuna mgawanyiko mkubwa na utofautishaji kila mahali katika Biblia kati ya waliookolewa na wale ambao hawajaokoka, kati ya wale ambao wameingia katika uhusiano wa agano na Mungu katika wokovu kupitia Yesu Kristo na wale ambao hawajaingia, au, kutumia maneno ya kifungu chetu, "Wale ambao wameitwa" na wale ambao hawajaitwa.
Wokovu ni matokeo ya utendaji wa neema maalum, na kuna ahadi maalum kwa wale ambao wamepokea neema hii. Injili ina neno moja tu la kuongea na wale ambao hawaamini juu ya Bwana Yesu Kristo. Ni kuwahimiza watubu na waamini. Haiwapi ahadi yoyote maalum mpaka watakapofanya hivyo. Badala yake inawatishia maafa. Haiwaambii kuwa "Vitu vyote hufanya kazi pamoja kwa faida" lakini kwamba "wamehukumiwa tayari." Ahadi hii ya faraja ni ya wokovu. Zinatolewa kwa wale tu ambao "wanampenda Mungu."
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Living TheologyBy Brendon Naicker

  • 3
  • 3
  • 3
  • 3
  • 3

3

1 ratings