
Sign up to save your podcasts
Or
Mambo vipi, kwenye toleo hili nimezungumza na Mohamed Mnete, yeye ni Software Engineer kule Google. Nilifanya mahojiano naye akiwa huko Texas Marekani.
Tunasikia mengi lakini kwa kuwa yupo ndugu yetu huko Google nilipenda yafahamu maisha ya huko Google yakoje, wanafanyaje kazi na kubwa kabisa huyu Mtanzania aliweza pata fursa hii adhimu kabisa.
Pia nikagusiagusia kama upo uwezekano wengine kujiunga huko kama kuna links and website za kutumia kufanya maombi.
5
22 ratings
Mambo vipi, kwenye toleo hili nimezungumza na Mohamed Mnete, yeye ni Software Engineer kule Google. Nilifanya mahojiano naye akiwa huko Texas Marekani.
Tunasikia mengi lakini kwa kuwa yupo ndugu yetu huko Google nilipenda yafahamu maisha ya huko Google yakoje, wanafanyaje kazi na kubwa kabisa huyu Mtanzania aliweza pata fursa hii adhimu kabisa.
Pia nikagusiagusia kama upo uwezekano wengine kujiunga huko kama kuna links and website za kutumia kufanya maombi.