Huwezi ukachukua neno la Mungu kisha ukaliingiza katika kufikiri kwa kibinadamu kisha ukapata matokeo ya Mungu. Rafiki, kama unataka kuwa na matokeo ya Mungu katika maisha yako ni lazima ubadilishe kufikiri kwako kwa kufikiri sawasawa na Mungu na hii iatepelekea uanze kutenda kwa kukubalina na Mungu na kuanza kupata matokeo ya Mungu.