Rafiki, Mungu alikuokoa ili uishi maisha ya pumziko na si ya mihangaiko kama walimwengu wanavyosema, mihangaiko inakuingiza katika hofu, pumziko linakuingiza katika pendo la Baba. Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii ya somo ili uanze kuishi pasipo hofu bali kuwa na ujasiri tele.