Amedeus Live Podcast

MWENDO WA IMANI


Listen Later

Rhapsodi ya Uhakika, Nov 18, 2020.

Warumi 9:8 inasema, “Yaani, si watoto wa mwili walio watoto wa Mungu, bali watoto wa ile ahadi wanahesabiwa kuwa wazao.” Watoto wa mwili wanaongozwa na hisia zao. Badala ya kuenenda kwa imani, wanaendeshwa tu na kila ambacho wanaweza kuona kwa macho, kusikia, kugusa, kuonja, au kunusa kwa mwili. Lakini Ukristo ni mtembeo wa imani; ni maisha yapitayo hisia.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Amedeus Live PodcastBy Amedeus D. Raphael