Mimi sio mhanga wa maisha wala wa dunia. Mwili wangu ni Hekalu la Roho Mtakatifu. Ninaishi kwenye afya njema siku zote. Ninatawala na kumiliki katika maisha haya.
Mimi sio mhanga wa maisha wala wa dunia. Mwili wangu ni Hekalu la Roho Mtakatifu. Ninaishi kwenye afya njema siku zote. Ninatawala na kumiliki katika maisha haya.