Mimi ni kama mti uliopandwa kando kando ya vijito vya maji. Nazalisha matunda mwaka nzima. Maambukizi, viwavi na chochote kinachoharibu hakina nafasi ndani yangu. Maisha yangu ni kusonga mbele na kupanda juu tuu. Hallelujah.
Mimi ni kama mti uliopandwa kando kando ya vijito vya maji. Nazalisha matunda mwaka nzima. Maambukizi, viwavi na chochote kinachoharibu hakina nafasi ndani yangu. Maisha yangu ni kusonga mbele na kupanda juu tuu. Hallelujah.