Uponyaji ni mkate wa watoto.
Afya njema ni fungu lako.
Yesu Kristo ni yeye yule, leo, Jana na hata milele! Kama aliweza kuponya watu kabla kufa, kufufuka na kupaa, anaweza kukuponya pia Leo hii kupitia makala hii kwa sababu yupo hai ndani yangu na ameivuvia makala hii kwa nguvu yake ya Uponyaji.
Pokea uponyaji wako Leo, pokea afya yako leo, pokea Jibu lako katika Jina la Yesu Kristo.
https://prayerclouds.org/app/amedelive