Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Rein Paulsen: Wakati wa kuchukua hatua kuepusha baa la njaa Sudan ni sasa

04.22.2024 - By United NationsPlay

Download our free app to listen on your phone

Download on the App StoreGet it on Google Play

Katika mahojiano na Idhaa ya Umoja wa Mataifa, afisa mwandamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) anayehusika na masuala ya dharura na mnepo, Rein Paulsen ametahadharisha kuwa hatari ya kutokea baa la njaa nchini Sudan ni halisi na kwa hivyo wakati wa kuchukua hatua ni sasa. Sabrina Moshi anasimulia.

More episodes from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu