Yesaya Software Podcast

Sam aliwezaje Kujiunga na Kufanya Kazi Andela


Listen Later

Samwel Charles ni mtanzania na Software Engineer Andela/Cloudflare. Amesoma na kufanya kazi hapa nyumbani Tanzania, lakini aliona fursa kufanya kazi Andela na kwenye toleo hili atatueleza aliwezaje fanikisha hilo.

Sam ameeleza hatua alizopitia kutokea mwanzo kabisa namna alivyoona fursa kutoka Andela, namna alivyojisikia baada kufika Andela na namna wanavyofanya kazi huko.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Yesaya Software PodcastBy Yesaya R. Athuman

  • 5
  • 5
  • 5
  • 5
  • 5

5

2 ratings