Mzalendo.net

Sauti:Bwana Abdi Omar Maalim-Mkurugenzi wa Usafiri Baharini


Listen Later

Bwana Abdi Omar Maalim kuhusiana na Meli ya Kilimanjaro 2 iliyopata khitilafu jana na kupoteza watu kadhaa ambapo watano wakipatikana wamefariki, watatu wakiwa hai na zaidi ya 20 kuendelea kutafutwa. Sauti kwa hisani ya Salma Said:
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Mzalendo.netBy Mzalendo.net