
Sign up to save your podcasts
Or


Mambo vipi rafiki?
Karibu kusikiliza sehemu ya 12 ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA.
Katika sehemu ya 11 tunaona Tunu na Leah wanaamua kwenda kutoa taarifa kwa mtendaji wa serikali za mtaa juu ya kile Ndonga na Kipepeo walichomfanyia Leah. Amani nae bado hajakata tamaa, anaendelea kumlaghai Leah wafanye ngono. Unadhani mahusiano ya Amani na Leah yataishia wapi?
ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.
ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.
Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afya ya Uzazi, Lishe bora, Stadi za Maisha , Usafi wa Hedhi na Mimba za utotoni.
Usipitwe na uhondo huu.
Ungana nasi katika mitandao ya kijamii
Instagram: https://www.instagram.com/ongearadioprogramme/
Twitter: https://twitter.com/ongea_radio
Facebook: https://web.facebook.com/OngeaRadioProgramme/
TikTok: https://vm.tiktok.com/JjgBxXp/
WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/ICZUIJg4qxRFGCIqOZ8RSs
#ONGEA #PimaVVU #TumiaKinga #TimizaMalengoYako
By ONGEAMambo vipi rafiki?
Karibu kusikiliza sehemu ya 12 ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA.
Katika sehemu ya 11 tunaona Tunu na Leah wanaamua kwenda kutoa taarifa kwa mtendaji wa serikali za mtaa juu ya kile Ndonga na Kipepeo walichomfanyia Leah. Amani nae bado hajakata tamaa, anaendelea kumlaghai Leah wafanye ngono. Unadhani mahusiano ya Amani na Leah yataishia wapi?
ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.
ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.
Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afya ya Uzazi, Lishe bora, Stadi za Maisha , Usafi wa Hedhi na Mimba za utotoni.
Usipitwe na uhondo huu.
Ungana nasi katika mitandao ya kijamii
Instagram: https://www.instagram.com/ongearadioprogramme/
Twitter: https://twitter.com/ongea_radio
Facebook: https://web.facebook.com/OngeaRadioProgramme/
TikTok: https://vm.tiktok.com/JjgBxXp/
WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/ICZUIJg4qxRFGCIqOZ8RSs
#ONGEA #PimaVVU #TumiaKinga #TimizaMalengoYako