Kipindi hiki kinaangazia kisa cha aliyekuwa mtangazaji wa Switch TV Ouma Robert, baada ya kupoteza kazi na kile ambacho anafanya kwa sasa. Isitoshe, kimeangazia pia kisa cha Bi.Mandi na Gitobu. Skiza ili upate uhondo zaidi. Usisahau kusubscribe na kupitisha ujumbe upande ule mwingine.