Doctor Rafiki Afrika

SIKU YA AFYA DUNIANI | AFYA YANGU, HAKI YANGU


Listen Later

Siku ya Afya Duniani tarehe 7 April 2024 ina kauli mbiu ya "Afya yangu, Haki Yangu". Mada ya mwaka huu ilichaguliwa ili kuwa bingwa wa haki kwa kila mtu kila mahali katika kupata huduma bora za afya, maji safi ya kunywa, hewa safi, lishe bora, makazi bora na mazingira bora. Karibu ujumuike nami daktari wako - Doctor Rafiki

Kwa maulizo: Wasiliana nasi

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Doctor Rafiki AfrikaBy Doctor Rafiki