SIRI ZA BIBLIA

SIRI ZA BIBLIA: MSAMAHA


Listen Later

Yesu akasema hivi katika Mathayo 6:12; mnaposali semeni hivi, ...utusamehe deni zetu kama nasi tuwasamehevyo wadeni wetu....

Maandiko yanachomaanisha ni kwamba, ukiwa huna desturi ya kuwasamehe, hata wewe Mungu wa mbinguni hatakusamehe kabisa hata ukitubu kwa machozi ya damu. Kama yumkini unasamehe kwa kiasi, nawe dhambi zako husamehewa kiasi.
Mat 6:14 Biblia inasema; "Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi".


@sirizabiblia

www.sirizabiblia.com

+255 758 708 804

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

SIRI ZA BIBLIABy SIRI ZA BIBLIA


More shows like SIRI ZA BIBLIA

View all
2Pac - Life So Hard (DJ LeKido Remix) by DJLeKido

2Pac - Life So Hard (DJ LeKido Remix)

69 Listeners

Rich Auntie Chats by Rich Auntie Ventures

Rich Auntie Chats

0 Listeners