
Sign up to save your podcasts
Or


MAMBO MUHIMU YANAYOUNDA MADHABAHU
Ili uweze kushughulikia tatizo sugu lililoshikiliwa kwenye madhabahu ni lazima ufahamu vizuri kuwa madhabahu sio jina pekee bali ni muunganiko wa mambo sita (6) ambayo hayo yanafanya madhabahu kuwepo na kuwa na nguvu, mambo hayo ni kama yafuatayo:-
Madhabahu yenyewe
Madhabahu hujengwa na watu kwa kusudi la kufanya ibada kwa Mungu wanaye mwamini. Kwa kawaida kila mwanadamuanaamini kuwepo kwa nguvu ambayo ni kubwa kuliko nguvu ya kibinadamu (existence of super natural power). Ili kuwasiliana na nguvu hii mwanadamu inambidi kutengeneza utaratibu wa kuifikia nguvu hiyo (kujenga madhabahu). Iwe ni kwa upande wa nuru au giza madhabahu lazima ijengwe kwa jinsi ya mwili kabisa. Eliya alijenga madhabahu ya Bwana (1Wafalme 18: 32 “Naye akaijenga madhabahu kwa mawe hayo katika jina la Bwana; akafanya mfereji, kama wa vipimo viwili vya mbegu, ukiizunguka madhabahu”)
Kuhani wa madhabahu
a. Makuhani wa Jehova
Mwanzo 14:18 “Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.”
b. Kuhani wa madhabahu za kishetani
Kafara/sadaka ya madhabahu
By SIRI ZA BIBLIAMAMBO MUHIMU YANAYOUNDA MADHABAHU
Ili uweze kushughulikia tatizo sugu lililoshikiliwa kwenye madhabahu ni lazima ufahamu vizuri kuwa madhabahu sio jina pekee bali ni muunganiko wa mambo sita (6) ambayo hayo yanafanya madhabahu kuwepo na kuwa na nguvu, mambo hayo ni kama yafuatayo:-
Madhabahu yenyewe
Madhabahu hujengwa na watu kwa kusudi la kufanya ibada kwa Mungu wanaye mwamini. Kwa kawaida kila mwanadamuanaamini kuwepo kwa nguvu ambayo ni kubwa kuliko nguvu ya kibinadamu (existence of super natural power). Ili kuwasiliana na nguvu hii mwanadamu inambidi kutengeneza utaratibu wa kuifikia nguvu hiyo (kujenga madhabahu). Iwe ni kwa upande wa nuru au giza madhabahu lazima ijengwe kwa jinsi ya mwili kabisa. Eliya alijenga madhabahu ya Bwana (1Wafalme 18: 32 “Naye akaijenga madhabahu kwa mawe hayo katika jina la Bwana; akafanya mfereji, kama wa vipimo viwili vya mbegu, ukiizunguka madhabahu”)
Kuhani wa madhabahu
a. Makuhani wa Jehova
Mwanzo 14:18 “Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.”
b. Kuhani wa madhabahu za kishetani
Kafara/sadaka ya madhabahu

69 Listeners

0 Listeners