TANAPA PODCAST

TANAPA PODCAST EPISODE 07 - Uchambuzi wa maneno yenye mkanganyiko katika Sekta ya Uhifadhi na Utalii


Listen Later

Episodi hii inaangazia uchambuzi wa kina kuhusu maneno mbalimbali yanayoleta mkanganyiko wa maana na matumizi yake katika jamii.

Katika Episode 07 Mtopezi wa lugha ya Kiswahili kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) Ndugu Oni Sigala anachambua na 

kudadavua maneno kadha wa kadha yenye utata katika sekta ya uhifadhi na utalii.


Eneo: Dar es salaam


Mwongozaji: Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Catherine Mbena

Mgeni: Oni Sigala - Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA)


Usikose kila Jumatatu kupitia Platifomu za TANAPA Podcast.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

TANAPA PODCASTBy Tanzania National Parks (TANAPA)