
Sign up to save your podcasts
Or


Episodi hii inaangazia uchambuzi wa kina kuhusu maneno mbalimbali yanayoleta mkanganyiko wa maana na matumizi yake katika jamii.
Katika Episode 07 Mtopezi wa lugha ya Kiswahili kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) Ndugu Oni Sigala anachambua na
kudadavua maneno kadha wa kadha yenye utata katika sekta ya uhifadhi na utalii.
Eneo: Dar es salaam
Mwongozaji: Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Catherine Mbena
Mgeni: Oni Sigala - Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA)
Usikose kila Jumatatu kupitia Platifomu za TANAPA Podcast.
By Tanzania National Parks (TANAPA)Episodi hii inaangazia uchambuzi wa kina kuhusu maneno mbalimbali yanayoleta mkanganyiko wa maana na matumizi yake katika jamii.
Katika Episode 07 Mtopezi wa lugha ya Kiswahili kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) Ndugu Oni Sigala anachambua na
kudadavua maneno kadha wa kadha yenye utata katika sekta ya uhifadhi na utalii.
Eneo: Dar es salaam
Mwongozaji: Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Catherine Mbena
Mgeni: Oni Sigala - Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA)
Usikose kila Jumatatu kupitia Platifomu za TANAPA Podcast.