TANAPA PODCAST

TANAPA PODCAST EPISODE 08 - MAANDALIZI YA TWENZETU KILELENI 2025 NA CDF (Mst.) GEORGE WAITARA


Listen Later


Katika Episode hii tunaangaIa mazungumzo ya kuhusu Kampeni ya Twenzetu Kileleni 2015 inayofanyikaga Desemba 09 kila mwaka kukumbuka mashujaa wetu waliopigania uhuru wa Tanganyika ambapo kwa mwaka huo huo bendera ya Taifa ilipandishwa Mlima Kilimanjaro wenye kilele kirefu kuliko vyote Barani Afrika chenye urefu wa mita “5985 asl” kuangazia nuru ya Uhuru ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.


Sikiliza TANAPA PODCAST Epsode 08 kwa habari za kweli na uhakika kuhusiana na historia ya Taifa letu, Uhifadhi na Utalii.


Eneo: Dar es Salaam.


Host: Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Catherine Mbena

Guest: Mkuu wa Majeshi (Mstaafu) Jenerali George Marwa Waitara.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

TANAPA PODCASTBy Tanzania National Parks (TANAPA)