TANAPA PODCAST

TANAPA PODCAST EPISODE 16: MILA, DESTURI NA TAMADUNI KATIKA UHIFADHI WA MALIASILI.


Listen Later

Episodi hii inaangazia njia za asili zilizotumika katika utunzaji wa maliasili kwa kufuata taratibu za kitamaduni, mila, desturi na makatazo mbalimbali yaliyosaidia kusimika mizizi imara na kuwa chimbuko la uhifadhi wa kisasa. Hekima za mababu zetu kama vile kuheshimu misitu, kutotumia rasilimali kupita kiasi, na kutambua uhusiano wa binadamu na mazingira vimekuwa dira muhimu inayoongoza mbinu za kisayansi za leo kwenye uhifadhi endelevu.


Sikiliza simulizi hii ya kuvutia katika Epsodi ya 16.


Mwongoza kipindi: Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Catherine Mbena.


Mgeni I: Mzee Rashid Shabani

Kitopeni.

Mgeni II: Mzee Ramadhani Nyundo

Usikose kila Jumatatu kupitia Platform za TANAPA Podcast.


TANAPA PODCAST, HIFADHI ZETU, SAUTI YETU.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

TANAPA PODCASTBy Tanzania National Parks (TANAPA)