Mwl. Erick’s Podcast

THE LAW OF THE SEED - PT 2


Listen Later

KANUNI YA MBEGU - SEHEMU YA PILI

Mbegu ni nini? Mbegu ni Mfumo unaohakikisha uzazi(uzalishaji)  na uendelevu

Anayetawala mbegu anatawala matokeo. 

Maisha yako ya leo ni mavuno ya mbegu zilizopandwa jana.

Wagalatia 6:7  Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.

Jambo/matokeo yoyote unayotamani kwenye Maisha ni mavuno ya mbegu sahihi. Hii inamaanisha ukiwa na mbegu sahihi unaweza kupata mavuno unayotamani

Ndoa nzuri ni mavuno

Nyumba yenye amani na furaha ni mavuno
Mali ni mavuno
Heshima ni mavuno

Jifunze Zaidi kwa kusikilize somo hili

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Mwl. Erick’s PodcastBy Christ Embassy Kawe