Elimu ndio inayokosekana kati ya watumiaji wengi wa majukwaa ya kidigitali na kusababisha hasara, kudukuliwa na upotevu wa taarifa na data walizoweka mtandaoni.
Katika episode hii, nimekuandalia tips Tano za kufanya Ili wadukuzi wasiweze kupata taarifa zako kwenye simu na laptop.
Produced and Hosted By Owen Bariki.
Instagram: eleven_digital255
Facebook: eleven_digital255
LinkedIn: eleven_digital255