Tunaishi kwenye ulimwengu ambao maisha/ mafanikio ya watu wengine yanaweza kuwa chanzo cha sisi kukosa furaha/ tumaini na Imani. Tunawezaje kuyachukulia mafanikio ya watu wengine kama motisha na sio tishio kwetu.
Tunaishi kwenye ulimwengu ambao maisha/ mafanikio ya watu wengine yanaweza kuwa chanzo cha sisi kukosa furaha/ tumaini na Imani. Tunawezaje kuyachukulia mafanikio ya watu wengine kama motisha na sio tishio kwetu.