The Uongozi Wa Kiroho Podcast

Tufanye Uanafunzi!


Listen Later

Mchungaji Emmanuel Mwankasole kutoka Dodoma, Tanzania anatukumbusha juu ya umuhimu wa kufanya uanafunzi. Baada ya kujibu swali la msingi "Kwa nini tufanye?" yeye anaendelea kutoa mafunzo mazuri sana kwa ajili ya viongozi, namna ya kufanya uanafunzi na faida tutakazoziona tukifanya uanafunzi kwa uaminifu. Bila shaka utabarikiwa na kujengwa na podcast hii.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

The Uongozi Wa Kiroho PodcastBy uongoziwakiroho