Mungu ni chanzo chetu, tumezaliwa neno lake, tumetokana na yeye. Ametuzaa kwa mapenzi yak, sisi na kazi ya mikono yake, limbuko la kwanza la viumbe wake.
Tuna uzima wa aina yake, tuna asili yake na tumejazwa kwa Roho wake.
Mungu ni chanzo chetu, tumezaliwa neno lake, tumetokana na yeye. Ametuzaa kwa mapenzi yak, sisi na kazi ya mikono yake, limbuko la kwanza la viumbe wake.
Tuna uzima wa aina yake, tuna asili yake na tumejazwa kwa Roho wake.