Mwl. Erick’s Podcast

UFANISI KWENYE MAOMBI


Listen Later

Maombi yenye matokeo hayategemei hisia, bali kanuni za kiroho.

Mungu haguswi na machozi, bali na imani inayotenda kazi kwa Neno lake.
Katika mafundisho haya, utagundua nguvu ya Neno la Mungu linaloumba, kuponya na kushinda giza.
Utaona jinsi kukaa katika Neno kunavyofungua mlango wa majibu ya maombi.
Maisha Yenye Ufanisi wa Maombi — Siri ya kuomba na kuona matokeo!

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Mwl. Erick’s PodcastBy Christ Embassy Kawe