Wewe umeungwa na Bwana Yesu, wewe ni kitu kimoja na yeye! Yeye yupo ndani Yako na wewe upo ndani yake. Uzima wake upo ndani Yako leo, wewe umeletwa kwenye daraja la Mungu! Una uzima na asili ya Mungu ndani Yako Leo hii.
Wewe umeungwa na Bwana Yesu, wewe ni kitu kimoja na yeye! Yeye yupo ndani Yako na wewe upo ndani yake. Uzima wake upo ndani Yako leo, wewe umeletwa kwenye daraja la Mungu! Una uzima na asili ya Mungu ndani Yako Leo hii.