Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii

Unicef: Ndoa za utotoni zimepungua duniani


Listen Later

Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa, Unicef limesema ndoa za utotoni zimepungua kwa kiwango kikubwa duniani, hususan katika nchi za Asia Kusini. Hata hivyo bado tatizo hilo ni kubwa Afrika ya Kusini mwa Sahara.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Noa Bongo - Afya na Masuala ya JamiiBy DW.COM | Deutsche Welle