Upendo wa Mungu umememiminwa kwa wingi moyoni Mwako, Hakika wewe ni mng'ao wa utukufu wake, dhihirisha upendo huo leo, acha nuru yako iiangaze sana, watu wote waone matendo yako mema, wamtukuze Baba yako wa Mbinguni.
Upendo wa Mungu umememiminwa kwa wingi moyoni Mwako, Hakika wewe ni mng'ao wa utukufu wake, dhihirisha upendo huo leo, acha nuru yako iiangaze sana, watu wote waone matendo yako mema, wamtukuze Baba yako wa Mbinguni.