Umeitwa kuhuburi utajiri wa Kristo Usiochunguzika, usiopimika, usiohesabika, usioisha. Utajiri ambao marefu yake, mapana, kimo na kina haviwezi kuelezewa kwa ukamilifu kwenye fikra ya kibinadamu.
Tafakari mistari hii:
Wakolosai 3:8
Warumi 8:17
1 Wakorinto 3:21
Tembea kwenye kweli kila siku kuanzia Leo hii.