
Sign up to save your podcasts
Or
Kwenye hii pisode nimeweza kuweka sawa kwenye swala zima la uvivu kuwa sio swala ambalo ni baya ila ni kwamba kuwa ni jibu na kielelezo kua unachokionea uvivu sio chako na kuweza kutafuta kitu kitakacho kupa nguvu ya kufanya na pia nimezungumzia kuhusu kazi kuwa kuna watu wa aina mbili kuna watu wanaofanya kazi kama wito na kuna watu wanao fanya kazi kwa njia tu ya kupata pesa.natumai hii episode ya leo itakua na msaada kwako.
Kwenye hii pisode nimeweza kuweka sawa kwenye swala zima la uvivu kuwa sio swala ambalo ni baya ila ni kwamba kuwa ni jibu na kielelezo kua unachokionea uvivu sio chako na kuweza kutafuta kitu kitakacho kupa nguvu ya kufanya na pia nimezungumzia kuhusu kazi kuwa kuna watu wa aina mbili kuna watu wanaofanya kazi kama wito na kuna watu wanao fanya kazi kwa njia tu ya kupata pesa.natumai hii episode ya leo itakua na msaada kwako.