Amedeus Live Podcast

Uwe Bayana katika Maombi Yako.


Listen Later

Mungu alituambia tuombe kwa sababu anataka anatujali na anataka kujibu na kutupa haja za mioyo yetu. Bainisha haja yako kila mara unapokuwa unamwomba Baba Mungu kupitia jina la Bwana Yesu.
Hii ni Rhapsodi ya Uhakika toleo la wasomaji wa awali, Januari 15, 2024.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Amedeus Live PodcastBy Amedeus D. Raphael