Nukta the Podcast

VITA YA MAJI ILIVYOLETA AMANI NA MSHIKAMANO KATI YA WAFUGAJI NA WAKULIMA KILOSA


Listen Later

Katika episode hii tutaangazia jinsi tatizo la maji Ilivyowaunganisha wakulima na wafugaji Kilosa.

Hapa utasikia simulizi ya wafugaji na wakulima waliokuwa maadui kutokana na mgogoro wa maji walivyogeuka marafiki baada ya kumfahamu adui wao wa kweli.

Karibu twende nami mpaka mwisho wa episode hii.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Nukta the PodcastBy Nukta Habari