Mzalendo.net

WAASISI WA MUUNGANO WATOA MAONI YAO


Listen Later

WANASIASA wakongwe waliokuwa katika serikali wakati wa kuundwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Salum Rashid na Nassor Hassan Moyo wamesema baraza la Mapinduzi halikushauriwa wala halikushirikishwa katika kuundwa kwa Muungano huo.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Mzalendo.netBy Mzalendo.net