WANASIASA wakongwe waliokuwa katika serikali wakati wa kuundwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Salum Rashid na Nassor Hassan Moyo wamesema baraza la Mapinduzi halikushauriwa wala halikushirikishwa katika kuundwa kwa Muungano huo.
WANASIASA wakongwe waliokuwa katika serikali wakati wa kuundwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Salum Rashid na Nassor Hassan Moyo wamesema baraza la Mapinduzi halikushauriwa wala halikushirikishwa katika kuundwa kwa Muungano huo.